Staa wa filamu Bongo, Chuchu Hans.
“Nimeamua nikae kimya kabisa wala sitaki kuzozana na mtu nitajishushia hadhi kwa mashabiki wangu bure, siwezi kuwa namnufaisha mtu kwa kumpandisha daraja kupitia mgongo wangu kutokana na malumbano,” alisema Johari.
Staa wa filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’.
Akikitemea cheche kinasa sauti cha paparazi
wetu baada ya kuulizwa kuhusiana na hatma ya malumbano yao ya mara kwa
mara na Chuchu, Johari alisema hataki kumzungumzia mwanadada huyo kwani
anampaisha bure.
Post a Comment