Mrembo na mwigizaji wa filamu hapa Bongo, Nargis Mohammed hivi juzi  amefungua duka jipya la mavazi  ya wanawake ikwa ni muendelezo wa maduka yake yanaofahamika kwa jinala la fashoonista .
Hapo juu ni baadhi ya picha za ufunguzi wa duka hilo lililopo Nyumbani Lounge karibu na Best Bite, jijini Dar.
Hongera sana Nargis.

Post a Comment

 
Top