Mitandao ya kijamii imeedelea kushika kasi zaidi kutokana na matumizi ya watumiaji kwenye mitandao hiyo kuzidi kuongezeka kila siku.

Mastaa wa kimataifa Beyonce Knowles na Kim Kardashian wamekuwa gumzo  baada ya kuzidiana followers ambapo baada ya Beyonce kuongoza kwa muda mrefu sasa ni zamu ya Kim.

Kim Kardashian sasa amekua staa anayeongoza kwa kuwa na follewers wengi kwenye mtandao wa @Instagram baada ya kufikisha milioni 44.1 na kumpiku Beyonce mwenye followers milioni 44.
List  mpya ya mastaa 10 ni hii hapa na idadi ya followes…
  1. Kim Kardashian — 44,005,604
  2. Beyoncé — 43,935,648
  3. Taylor Swift — 43,533,226
  4. Selena Gomez — 41,843,095
  5. Ariana Grande — 41,696,873
  6. Justin Bieber — 36,994,254
  7. Kendall Jenner — 35,388,483
  8. Kylie Jenner — 33,703,166
  9. Nicki Minaj — 32,278,123
  10. Khloé Kardashian — 30,522,261

Post a Comment

 
Top