Mwezi mmoja toka Jacqueline wolper atamke kuwa ni mjamzito (ambao bado haujapata uthibitisho-Ingia hapa), mrembo huyo wa Bongo movie amevishwa pete ya uchumba.

Kwa mujibu wa picha na maelezo aliyopost kwenye akaunti yake ya Instagram, Wolper sasa ni mchumba wa mtu.
Wolper alipost picha kadhaa akiwa na mchumba wake, na kuelezea picha kamili ilivyokuwa hadi kupata surprise hiyo ambayo hakuitarajia.


Post a Comment

 
Top