Tayari Serikali kupitia Baraza la mitiani NECTA imetangaza Matokeo
ya kidato cha pili mwaka 2015 324,068 sawa na 89% kati ya wanafunzi
363,666 waliofanya mtihani wamefaulu kuendelea na kidato cha tatu kwa
mwaka 2016.
Matokeo yote unaweza kuyatazama hapa>> http://www.necta.go.tz/matokeo/ftna2015/html/index.htm
Post a Comment